Monday, May 14, 2012

SOS MISSION CRUSADE DAR ES SALAAM TANZANIA: THE GREAT CRUSADE EVER HAPPENED


MKUTANO MKUBWA WA INJILI
WA SHEREHE ZA ISHARA NA MIUJIZA
 Hii huduma ya SOS MISSION Ni huduma ya kimataifa iliyolenga kuwafikia watu wote duniani chini ya  Rev Johannes Amritzer , Wamejitawanya duniani kimatawi kuifanya huduma kufanyika kirahisi zaidi, Mungu anawatumia sana, kwa ishara na miujiza, kwa wanafunzi na watu ambao walifanikiwa kuhudhuria Campus night ya 11.11.2011 iliyoandaliwa na Kanisa la Victory christian Center Dar ni mashahidi. Mungu anawatumia hawa watu isivyo kawaida. 
SASA WAMEKUJA DAR TENA.
NJOO UMUONE MUNGU ANAVYOWATUMIA WATU, NJOO  USHUHUDIE MWENYEWE
 Rev Johannes Amritzer
 
Mahali:     Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania
Tarehe:      13 Jumatano hadi 17 Jumapili Juni 2012
Muda;       Kila siku saa 9 Alasili Mpaka 12:30 Jioni
Mnenaji:   Muinjilisti wa Kimataifa, Jonnes Amritzer



SOS Festival Band
Bendi ya sherehe za Huduma ya SOS Toka Sweeden


Kwaya mbalimbali na Waimbaji Binafsi  



Watakuwapo: Kinondoni Revival, Temeke Revival, The Reapers, Upendo Nkone, Christina Shusho, Bon Mwaitege
Mawasiliano,: +255 714 503 638, +255 762 441 719, email signsandwonderfestival_dar@vcc.org.tz