Showing posts with label kusifu kuabudu. Show all posts
Showing posts with label kusifu kuabudu. Show all posts

Monday, August 4, 2014

2014 EASTER GOSPEL MUSIC CONCET TANZANIA


Sikukuu ya pasaka ya mwaka huu ilikuwa na mwimbaji mahiri toka Afrika kusini, ali maarufu kama Keke, huyu mbaba ni mwimbaji na mwabuduji mzuri tu na ni mchungaji pia
Katika tamasha hilo la pasaka ambalo huandaliwa na Msama Promotion pamoja na Changamoto ya mvua bado muitikio wa watu ulikuwa mzuri tu na waimbaji mbalimbali toka hapa nchini na nje  ya nchi walikuwepo kumtukuza huyo Kristo aliyefufuka


Miongoni mwa wanamuziki waliohudumu katika tamasha hilo ni pamoja na Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Sara K kutoka Kenya, Glorious Worship Team, John Lisu, Jessica BM,Meccy Chengula,Edson Mwaisabwite,Masanja Mkandamizaji,Mwanamuziki kutoka UK na Keke Kutoka South Africa pamoja na Rose Muhando bila kumsahau Efraimu Sekeleti toka Zambia!

Mhe. Benard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo kwa niaba ya Mh.rais Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza risala kutoka kwa Mchungaji Mwasota ambaye ni Mwenyekiti wa Makanisa ya Pentekoste Ukanda wa Dar-es-Salaam na baadaye kutoa hutuba fupi akiweka msisitizo wa Mchakato wa uundaji wa katiba mpya kuwa utakuwa wa amani tu na wananchi wasubiri kuipigia kura.

Keke mwanamuziki kutoka Africa Ya Kusini akihudumu katika Uwanja wa Taifa kwa makeke ya hali ya juu sana!


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Membe akiongea siku ya Jana kuhusu Mchakato wa Katiba Mpya 

Laura Msama Mke wa Msama akiwa amekunja goti wakati akisalimiana na Mhe. Membe 

Mhe. Membe akiwa anasalimiana na Keke, mwimbaji toka Afrika kusini.
 Mwanamuziki kutoka Zambia Ephrahim Sekeleti akiwa anapasha pamoja na Backers Vocalists wake, aliowaomba hapo uwanjani maana hawa ni Living Water toka Makuti kawe kwa Apostle Onesmo Ndegi!. 

Upendo Kilahiro akiwa anaenda sawa katika Uwanja wa Taifa 

Mise Anaeli akuwa anapuliza tarumbeta Uwanjani sambamba na Upendo kilahiro

Sarah K Mwanamuziki Kutoka Kenya akiwa anaimba Wimbo Wake "Liseme" akisaidiwa back up na wanamuziki wa Glorious worship team


"Kwani Ni Jambo Lipi hilo, Yeye asiloliweza" 
 Baadhi ya Waimbaji Wa Glorious Worship Team wakiwa Jukwaani wakienda sawa 

Kijana ni Kijana tu, Hawa hawakuwa mbali kwenda sawa na mishindo ya jukwaani!

Mwanamuziki Nguli kutoka Africa Ya Kusini Keke akiwa Jukwaani 



Backers Vocalists wakiwa wanaenda sawa 

Mpiga drums nambari moja wa Keke akiwa anaenda sawa 

Na mpaka hapo kwa uchache ndivyo tamasha la pasaka lilivyokuwa, Mwanamuziki wa mwisho alikuwa Rose Mhando na alikuja na vibao vyake vipya vya album yake mpya ya Facebook na kwa hakika alifanya vizuri!
Tamasha lilimalizika majira ya saa 2 usiku na hapo ndiyo ikawa mwisho na tutaonana tena Christmass ijayo na pasaka Mungu akipenda!
Naamini mambo haya yakifanyika katika dhamira ya kweli tupu tutafika mbali sana, Mungu awabariki watumishi wote watumikao madhabahuni kwa uaminifu!!

Sunday, August 5, 2012

SARAH SHILLA FIRST GOSPEL ALBUM LAUNCH

Sarah Shilla first album Launch
NEW GOSPEL CEREBRITY IN TANZANIA
Name : Sara Shillah
Album: Let it rain In his Presence
Launching date: August 05, 2012
Venue: Banora hall, near Mlimani city business center

Sarah Shilla is a talented Tanzanian girl in gospel Music, she has been in music for quite long time, she has ministered in various palaces, including some churches in India and many churches in Tanzania, when in Tanzania she has invested her time in RIVERS OF JOY PRAISE TEAM of Tanzania Assemblies of God Victory Christian Center
Her father Rev Charles Shilla is a District General secretary of Tanzania Assemblies of God in Eastern region. and a senior pastor of TAG Makongo. so she has born in ministers family.

Her album launch was cerebrated by many gospel teams and artists including
  • Mwenge praise team
  • Eunice Hihatwa
  • Miriam Lukindo
  • John Sharaam
  • The Voice
  • John Lisu
  • Rivers of Joy
  • King Chavala - Gospel comedian 


Sarah Shilla gospel album lauch
 The album was launched by Guest of Honor Rev. Dr Huruma Nkone, the National director of CASFETA, and the senior pastor of Victory Christian Center.